UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Tuesday, May 22, 2012

SALAMU ZA PONGEZI

Natumaini mu wazima wa afya,

Kwanza nichukue fursa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa yote anayotutendea, Mungu yu mwema siku zote na hakika anatupenda,

Pili nichukue fursa hii kutoa salam na shukrani zangu za pongezi kwa wale wote waliojitokeza ktk party yetu iliyofanyika 19052012,shukrani za Kipekee ziwaendee Joymetta na Hamza kwa jitihada zao za dhati kabisa kufanikisha jambo hilo, sherehe ilikuwa nzuri sana, ni mwanzo mzuri sana na nina uhakika suala hili limetoa uhamsho wa kipekee miongoni Mwetu!

Tuzidi kushirikiana katika kujenga chama!
Mungu awe nasi na abariki kazi ya mikono yetu!
Imetolewa na Japhet Mungu
22052012

No comments: