Natumaini mu wazima wa afya,
Kwanza nichukue fursa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa yote anayotutendea, Mungu yu mwema siku zote na hakika anatupenda,
Pili nichukue fursa hii kutoa salam na shukrani zangu za pongezi kwa wale wote waliojitokeza ktk party yetu iliyofanyika 19052012,shukrani za Kipekee ziwaendee Joymetta na Hamza kwa jitihada zao za dhati kabisa kufanikisha jambo hilo, sherehe ilikuwa nzuri sana, ni mwanzo mzuri sana na nina uhakika suala hili limetoa uhamsho wa kipekee miongoni Mwetu!
Tuzidi kushirikiana katika kujenga chama!
Mungu awe nasi na abariki kazi ya mikono yetu!
Imetolewa na Japhet Mungu
22052012
Kwanza nichukue fursa hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa yote anayotutendea, Mungu yu mwema siku zote na hakika anatupenda,
Pili nichukue fursa hii kutoa salam na shukrani zangu za pongezi kwa wale wote waliojitokeza ktk party yetu iliyofanyika 19052012,shukrani za Kipekee ziwaendee Joymetta na Hamza kwa jitihada zao za dhati kabisa kufanikisha jambo hilo, sherehe ilikuwa nzuri sana, ni mwanzo mzuri sana na nina uhakika suala hili limetoa uhamsho wa kipekee miongoni Mwetu!
Tuzidi kushirikiana katika kujenga chama!
Mungu awe nasi na abariki kazi ya mikono yetu!
Imetolewa na Japhet Mungu
22052012
No comments:
Post a Comment