UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, September 30, 2013

MKUTANO MKUU WA CHAMA

Habari zeni ndugu wanachama,

Chama kinapenda kuwakaribisha wanachama wote kwenye mkutano mkuu wa chama utakaofanyika tarehe 06.10.2013 siku ya jumapili kuanzia saa nane mchana, unaombwa kuwahi sana ili tumalize kwa wakati,

No comments: