2.1.Mwanachama-ni mtu ambaye ni mwenyeji na mzaliwa wa Kanyigo aliyetimiza miaka kumi na nane na kuendelea (18+) na awe ametimiza masharti na matakwa ya chama ikiwa ni pamoja na kulipa kiingilio kilichoridhiwa na wanachama kwa ujumla wao. Ada kwa sasa ni Tzs 20,000.00/= na bado mwanachama mpya atakuwa chini ya uangalizi kwa kipindi cha miezi sita!
2 comments:
that is good! very useful information!
thanks mzee tumekuelewa
Post a Comment