UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, February 27, 2012

MKUTANO WA CHAMA 04.03.2012

Kwanza nichukue fursa hii kuwasabahi, natumai nyote mu-bukheri wa siha njema!
Ningependa kutoa wito kwa wanachama wenzagu kuhudhuria kikao chetu kama ilivyo ada ya chama kikatiba, makutano yetu ni palepale na muda wa mkutano kuanza ni saa 10-12! ili tumalize kwa wakati uliopangwa ni lazima tuanze kwa wakati uliopangwa!

Mwisho nitangulize shukrani zangu kwenu kwa ushirikiano mnaoutoa kwa dhati sana!
Akhasanteni sana
Japhet Mukala!

Monday, February 13, 2012

HONGERA SANA KAKA MAULID ABDALLAH

Kwa niaba ya chama, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza yeye na mke wake kwa kupata mtoto wa kiume jana 12.02.2012, wote wanaendelea vizuri, chama kinamtakia maisha mema, marefu na yenye baraka tele!

imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama