Kwanza nichukue fursa hii kuwasabahi, natumai nyote mu-bukheri wa siha njema!
Ningependa kutoa wito kwa wanachama wenzagu kuhudhuria kikao chetu kama ilivyo ada ya chama kikatiba, makutano yetu ni palepale na muda wa mkutano kuanza ni saa 10-12! ili tumalize kwa wakati uliopangwa ni lazima tuanze kwa wakati uliopangwa!
Mwisho nitangulize shukrani zangu kwenu kwa ushirikiano mnaoutoa kwa dhati sana!
Akhasanteni sana
Japhet Mukala!
Ningependa kutoa wito kwa wanachama wenzagu kuhudhuria kikao chetu kama ilivyo ada ya chama kikatiba, makutano yetu ni palepale na muda wa mkutano kuanza ni saa 10-12! ili tumalize kwa wakati uliopangwa ni lazima tuanze kwa wakati uliopangwa!
Mwisho nitangulize shukrani zangu kwenu kwa ushirikiano mnaoutoa kwa dhati sana!
Akhasanteni sana
Japhet Mukala!
No comments:
Post a Comment