UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, February 13, 2012

HONGERA SANA KAKA MAULID ABDALLAH

Kwa niaba ya chama, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza yeye na mke wake kwa kupata mtoto wa kiume jana 12.02.2012, wote wanaendelea vizuri, chama kinamtakia maisha mema, marefu na yenye baraka tele!

imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama

No comments: