Kwa niaba ya chama, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza yeye na mke wake kwa kupata mtoto wa kiume jana 12.02.2012, wote wanaendelea vizuri, chama kinamtakia maisha mema, marefu na yenye baraka tele!
imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama
imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama
No comments:
Post a Comment