UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Friday, August 31, 2012

YAH MKUTANO WA CHAMA TAREHE 02092012

Ndugu mwanachama,

rejea kichwa cha habari hapo juu, unapendwa kukumbushwa kuwa siku ya jumapili tutakuwa na mkutano wetu wa kila jumapili ya mwanzo wa mwezi,

Ikumbukwe, kwa kuwa tunakaribia kufunga mwaka kichama, yapo mambo kadha wa kadha ambayo yatajadiliwa ikiwa ni pamoja na uchaguzi wa viongozi, taarifa za wenyeviti wa kanda zetu kichama na kujadili umuhim wa kujadili mchakato mzima wa kupata walezi wa chama.n vilevile tutadodosa juu ya mkutano mkuu wa chama unaotazamiwa kufanyika mwezi wa kumi.

Natumaini mawazo yenu yatakuwa chachu na nguzo muhim katika kikao chetu!

Imetolewa leo na Japhet Mukala
Mwenyekiti wa chama

YAH KUSIMAMISHA UANACHAMA

Ndugu wadau,

Kwa niaba ya chama cha vijana wa kanyigo waishio Dar es salaam, napenda kuutangazia uma kuwa chama kimefuta uanachama wa Amos Mpembwe na Pendo Benard, hivyo basi naomba uma utambue kuwa hawa si sehemu ya chama kuanzia 06.08.2012.

Imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama