UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Friday, August 31, 2012

YAH KUSIMAMISHA UANACHAMA

Ndugu wadau,

Kwa niaba ya chama cha vijana wa kanyigo waishio Dar es salaam, napenda kuutangazia uma kuwa chama kimefuta uanachama wa Amos Mpembwe na Pendo Benard, hivyo basi naomba uma utambue kuwa hawa si sehemu ya chama kuanzia 06.08.2012.

Imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama

No comments: