Ndugu wadau,
Kwa niaba ya chama cha vijana wa kanyigo waishio Dar es salaam, napenda kuutangazia uma kuwa chama kimefuta uanachama wa Amos Mpembwe na Pendo Benard, hivyo basi naomba uma utambue kuwa hawa si sehemu ya chama kuanzia 06.08.2012.
Imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama
Kwa niaba ya chama cha vijana wa kanyigo waishio Dar es salaam, napenda kuutangazia uma kuwa chama kimefuta uanachama wa Amos Mpembwe na Pendo Benard, hivyo basi naomba uma utambue kuwa hawa si sehemu ya chama kuanzia 06.08.2012.
Imetolewa na
Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama
No comments:
Post a Comment