Ndugu mwanachama,
rejea kichwa cha habari hapo juu, unapendwa kukumbushwa kuwa siku ya jumapili tutakuwa na mkutano wetu wa kila jumapili ya mwanzo wa mwezi,
Ikumbukwe, kwa kuwa tunakaribia kufunga mwaka kichama, yapo mambo kadha wa kadha ambayo yatajadiliwa ikiwa ni pamoja na uchaguzi wa viongozi, taarifa za wenyeviti wa kanda zetu kichama na kujadili umuhim wa kujadili mchakato mzima wa kupata walezi wa chama.n vilevile tutadodosa juu ya mkutano mkuu wa chama unaotazamiwa kufanyika mwezi wa kumi.
Natumaini mawazo yenu yatakuwa chachu na nguzo muhim katika kikao chetu!
Imetolewa leo na Japhet Mukala
Mwenyekiti wa chama
rejea kichwa cha habari hapo juu, unapendwa kukumbushwa kuwa siku ya jumapili tutakuwa na mkutano wetu wa kila jumapili ya mwanzo wa mwezi,
Ikumbukwe, kwa kuwa tunakaribia kufunga mwaka kichama, yapo mambo kadha wa kadha ambayo yatajadiliwa ikiwa ni pamoja na uchaguzi wa viongozi, taarifa za wenyeviti wa kanda zetu kichama na kujadili umuhim wa kujadili mchakato mzima wa kupata walezi wa chama.n vilevile tutadodosa juu ya mkutano mkuu wa chama unaotazamiwa kufanyika mwezi wa kumi.
Natumaini mawazo yenu yatakuwa chachu na nguzo muhim katika kikao chetu!
Imetolewa leo na Japhet Mukala
Mwenyekiti wa chama
No comments:
Post a Comment