Habari wanachama,
Rejea kikao kilichopita, tumekubaliana siku ya 23.02.2013 tutafanya get together party ya mwaka wa jana, ikumbukwe, tulishindwa kufanya hii party ambayo ipo kwa mujibu wa katiba kutokana na mambo kuwa mengi ndani ya kalendar ya chama, kuna mengi sana yatafanyika siku hiyo, msikose kwani ni kosa kikatiba kukosa siku hiyo. Mahali tulikubaliana siku ya kikao inagawa mtatumiwa tena sms kukumbushiwa na mipango mingine ya chama kuhusu siku hiyo.
Imetolewa na japhet Mukala
Rejea kikao kilichopita, tumekubaliana siku ya 23.02.2013 tutafanya get together party ya mwaka wa jana, ikumbukwe, tulishindwa kufanya hii party ambayo ipo kwa mujibu wa katiba kutokana na mambo kuwa mengi ndani ya kalendar ya chama, kuna mengi sana yatafanyika siku hiyo, msikose kwani ni kosa kikatiba kukosa siku hiyo. Mahali tulikubaliana siku ya kikao inagawa mtatumiwa tena sms kukumbushiwa na mipango mingine ya chama kuhusu siku hiyo.
Imetolewa na japhet Mukala
No comments:
Post a Comment