UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, January 14, 2013

GET TOGETHER EVENT 23.02.2013

Habari wanachama,

Rejea kikao kilichopita, tumekubaliana siku ya 23.02.2013 tutafanya get together party ya mwaka wa jana, ikumbukwe, tulishindwa kufanya hii party ambayo ipo kwa mujibu wa katiba kutokana na mambo kuwa mengi ndani ya kalendar ya chama, kuna mengi sana yatafanyika siku hiyo, msikose kwani ni kosa kikatiba kukosa siku hiyo. Mahali tulikubaliana siku ya kikao inagawa mtatumiwa tena sms kukumbushiwa na mipango mingine ya chama kuhusu siku hiyo.

Imetolewa na japhet Mukala

No comments: