Ndugu wanachama,
chama cha vijana wa Kanyigo wanaoishi Dar es salaam, kinapenda kuwapongeza wanachama wote kwa kufanikiwa kumaliza mwaka 2012 kwa usalama na kuingia mwaka 2013, hii ina maana kubwa sana kwetu, ni mengi yametokea ndani ya 2012, lakini Mungu ametusimamia na tumevuka kwa usalama, tujifunge mkanda ili kukabili changamoto zilizo mbele yetu! nina imani tutashinda katika yeye atutiaye nguvu.
Muwe na baraka njema katika shughuli zenu za kila siku
Mungu abariki kazi ya mikono yenu na zaidi msisahau kufanya kazi kwa bidii na malengo
Mwisho, tukumbuke ibada.
Japhet Mukala.
chama cha vijana wa Kanyigo wanaoishi Dar es salaam, kinapenda kuwapongeza wanachama wote kwa kufanikiwa kumaliza mwaka 2012 kwa usalama na kuingia mwaka 2013, hii ina maana kubwa sana kwetu, ni mengi yametokea ndani ya 2012, lakini Mungu ametusimamia na tumevuka kwa usalama, tujifunge mkanda ili kukabili changamoto zilizo mbele yetu! nina imani tutashinda katika yeye atutiaye nguvu.
Muwe na baraka njema katika shughuli zenu za kila siku
Mungu abariki kazi ya mikono yenu na zaidi msisahau kufanya kazi kwa bidii na malengo
Mwisho, tukumbuke ibada.
Japhet Mukala.
No comments:
Post a Comment