UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Tuesday, October 18, 2016

MKUTANO MKUU WA CHAMA

Habari ndugu wanachama,


Rejea katiba ya chama, tarehe 6/11/2016 tutafanya mkutano mkuu wa chama.
wanachama wote mnaombwa kufika bila kukosa.


Mkutano wetu utaanza saa 6 mchana.


Imetolewa na uongozi wa chama

No comments: