UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Wednesday, November 9, 2011

MATENDO, JUHUDI NA JITIHADA ZETU NDO ALAMA SAHIHI YA UJANA WETU

Sisi kama vijana tunayo nafasi kubwa katika jamii kuhakikisha mambo yanaenda, sisi ndo nguvu kazi na sisi ndo daraja sahihi kati ya wazee wetu na wadogo zetu, tunao wakati mgumu sana kuhakikisha gurudumu linasogea kwa kadiri inavyotakiwa.

wazo la kuwa na chama lilikuwa lazima liwepo hii ikiwa ni sababu ya kuuunganisha nguvu zetu juu ya jambo fulani tulililo amua kulifanya, lazima tuwe na common agenda na hii ajenda lazima ishirikishe watu wenye kariba mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine watashirikiana katika kuhakikisha hili jambo linafanyika kwa ufanisi mkubwa.

Sisi kama vijana lazima tuoneshe mfano mzuri katika jamii ambao hata wadogo zetu utawapa mwanga bora wa maisha na vilevile iwapo tutaamua kwa sauti moja kukamilisha yake tuliyoyapanga nina imani itajenga imani sana kwetu na tutakuwa tumejiwekea heshima kubwa sana juu ya uso wa dunia.

No comments: