UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Wednesday, November 9, 2011

TUNAKARIBISHA MAWAZO YENU ILI TUJENGE CHAMA

Sisi kama chama, nia na madhumini hasa ni kuhakikisha malengo ya chama kama yalivyoainishwa kikatiba yanatimia, sisi kama sisi hatuwezi bila michango ya mbalimbali ya wadau!njoo ujiunge na sisi, njoo ujifunze na sisi kwani naamini mikusanyiko yetu ni moja ya madarasa ya kijamii! tunapatikana kwa http://www.vijanakanyigo.blogspot.com/ au facebook .ni. vijana kanyigo na email yetu ni vijanakanyigo2011@yahoo.com .tunawakaribisha sana na tunakaribisha mawazo yenu.
by japhet mukala-mwenyekiti wa chama.

1 comment:

vijanakanyigo2011 said...

mwanzo mzuri sana na matunda yake nina imani yataoneka mda si mrefu cha msingi ni uvumilivu.
hecko vijana wa kanyigo.