UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, March 5, 2012

TAARIFA YA MKUTANO WA CHAMA ULIOFANYIKA 04.03.2012

Kwanza kabisa nichuke nafasi hii kuwashukuru wale wote waliojitokeza kwenye mkutano wa jana na hata wale walioshindwa ila walitoa taarifa juu ya kutofika kwao!

Mkutano wetu wa jana ulikuwa na manufaa mengi sana kwani mambo muhim sana kwa uhai wa chama yalijadiliwa na kufikiwa muafaka, niwapongeze wote waliotoa michango yao kwa njia mbalimbali,

baadhi ya mambo amabayo chama kinatakiwa kuyafanyia kazi ni kama yafuatayo.;-

1.Kufanya marekebisho ya katiba ili kukidhi vigezo vya chama cha kijamii kwa mijibu wa wizara ya mambo ya ndani ikiwa ni harakati za kusajili chama chetu kitambulikane kisheria
2.Kuandaa safari yetu tuliyopanga kuifanya tarehe 14.04.2012

Haya ni mabo ambayo uongozi umepata baraka kutoka kwa waanachama kujadili na kuja na majibi kwenye kikao kinachokuja cha tarehe 01.04.2012

mwisho nitoe tena shukrani zangu za dhati kwa uongozi kwa kazi nzuri wanayoifanya kuanzia kwa katibu na msaidizi wake, muweka hazina na msaidizi wake, makamu mwenyekiti wangu na viongozi wa kamati zetu za chama, tuenedelee kuwa na umoja, nidhamu na juhudi tunayoionyesha ili hazima na malengo ya chama yatimie!

imetolewa 05032012
Na Japhet mukala
Mwkt wa chama

No comments: