Ukombozi wa elimu, ukombozi katika huduma za kiafya,ukombozi wa fikra, ukombozi wa utu, kamwe hautokani na pesa au uwezo fulani ulio nao, unatokana na moyo wa mtu aliona nao juu ya jambo husika!unaweza kumtegemea mbunge au diwani au waziri lakini kama hana moyo wa kusaidia hawezi kusaidia, tuchague watu wa utumishi wao uliotukuka katika mioyo ya watu na si kwa fedha na mali walizonazo!
Japhet Mukala Senior
Japhet Mukala Senior
No comments:
Post a Comment