UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, July 16, 2012

TAFAKARI YA JUMATATU

Ukombozi wa elimu, ukombozi katika huduma za kiafya,ukombozi wa fikra, ukombozi wa utu, kamwe hautokani na pesa au uwezo fulani ulio nao, unatokana na moyo wa mtu aliona nao juu ya jambo husika!unaweza kumtegemea mbunge au diwani au waziri lakini kama hana moyo wa kusaidia hawezi kusaidia, tuchague watu wa utumishi wao uliotukuka katika mioyo ya watu na si kwa fedha na mali walizonazo!

Japhet Mukala Senior

No comments: