Poleni na majukumu wadau,
Napenda kuchukua fursa hii, kutoa shukrani zangu za dhati kutoka moyoni kwa wale wote waliojitokeza jana kwenda kuwaona wadogo zetu, vilevile nawashukuru wadau wengine ambao wameshiriki nasi kwa njia ya michango pamoja na kuwa mbali na Dar es salaam, vilevile sitawasahau wale wote walioshindwa kufika ila wametuma uwakilishi wao kwa namna nyingine,
Ni jambo la kumpendeza Mungu sana kw...a tukio la jana, nimshukuru Mungu sana na aendelee kututia moyo katika kuyafanya haya kwani hakuna wa kumwachia zaidi yetu sisi na wewe pia.
Naushukuru sana uongozi wa kutuo kwa ukarimu wao kwetu na niwashukuru wadogo zetu pia kwa jinsi walivyokuwa wakarimu sana kwetu,ni kweli bado jitihada za hali na mali zinahitajika sana katika kuyakamilisha haya!hakika tutafika.
Niwatakie kazi njema na Mungu awabariki pale mlipotoa awaongezee
Napenda kuchukua fursa hii, kutoa shukrani zangu za dhati kutoka moyoni kwa wale wote waliojitokeza jana kwenda kuwaona wadogo zetu, vilevile nawashukuru wadau wengine ambao wameshiriki nasi kwa njia ya michango pamoja na kuwa mbali na Dar es salaam, vilevile sitawasahau wale wote walioshindwa kufika ila wametuma uwakilishi wao kwa namna nyingine,
Ni jambo la kumpendeza Mungu sana kw...a tukio la jana, nimshukuru Mungu sana na aendelee kututia moyo katika kuyafanya haya kwani hakuna wa kumwachia zaidi yetu sisi na wewe pia.
Naushukuru sana uongozi wa kutuo kwa ukarimu wao kwetu na niwashukuru wadogo zetu pia kwa jinsi walivyokuwa wakarimu sana kwetu,ni kweli bado jitihada za hali na mali zinahitajika sana katika kuyakamilisha haya!hakika tutafika.
Niwatakie kazi njema na Mungu awabariki pale mlipotoa awaongezee
No comments:
Post a Comment