UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Tuesday, January 31, 2012

KARIBU KWENYE MKUTANO WETU 05.FEB.2012

Ndugu wanachama,

Mnakumbushwa kuudhuria mkutano wetu wa kikatiba siku ya jumapili eneo letu la kila siku pale ubungo!mada muhimu ni malengo ya mwaka huu, unaombwa kuwahi sana muda ni saa tisa jioni hadi saa kumi na mbili!kufika kwenu ndo mafanikio ya chama!
mkaribishe na mwenzako pia!

imetolewa na
Japhet Mukala

No comments: