UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Friday, January 20, 2012

SALAMU ZA PONGEZI

Kwa niaba ya chama cha vijana wa kanyigo waishio Dar es salaam, napenda kutoa shukrani za pongezi kwa bwana Dickson Nestory na mkewe kwa kubarikiwa mtoto wa kike leo alfajiri, afya za mama baba na mtoto zinaendelea vizuri, tunapenda kumtakia mtoto wetu maisha mema na marefu yenye baraka tele.


imetolewa na Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama

No comments: