Kwa niaba ya chama cha vijana wa kanyigo waishio Dar es salaam, napenda kutoa shukrani za pongezi kwa bwana Dickson Nestory na mkewe kwa kubarikiwa mtoto wa kike leo alfajiri, afya za mama baba na mtoto zinaendelea vizuri, tunapenda kumtakia mtoto wetu maisha mema na marefu yenye baraka tele.
imetolewa na Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama
imetolewa na Japhet Mukala
mwenyekiti wa chama
No comments:
Post a Comment