UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, January 30, 2012

TANZIA

Kwa niaba ya chama, napenda kutoa salam za pole kwa ndugu yetu bwana Mbaraka Nyaigesha kwa kuondokewa na baba yake mkubwa, msiba umetokea jana huko mbeya ila mipango ya mazishi inafanyika ubungo kibangu! kwa wale wote watakaoweza naomba tukutane ubungo riverside saa kumi jioni ili twende kumpa pole!
kazi ya mola kamwe haina makosa, tumshukuru kwa kila jambo!
bwana ametoa na bwana ametwaa,
jina lake lihimidiwe
imetolewa na Japhet Mukala

No comments: