Kwa niaba ya chama, napenda kutoa salam za pole kwa ndugu yetu bwana Mbaraka Nyaigesha kwa kuondokewa na baba yake mkubwa, msiba umetokea jana huko mbeya ila mipango ya mazishi inafanyika ubungo kibangu! kwa wale wote watakaoweza naomba tukutane ubungo riverside saa kumi jioni ili twende kumpa pole!
kazi ya mola kamwe haina makosa, tumshukuru kwa kila jambo!
bwana ametoa na bwana ametwaa,
jina lake lihimidiwe
imetolewa na Japhet Mukala
kazi ya mola kamwe haina makosa, tumshukuru kwa kila jambo!
bwana ametoa na bwana ametwaa,
jina lake lihimidiwe
imetolewa na Japhet Mukala
No comments:
Post a Comment