UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Sunday, January 15, 2012

YALIYOJIRI KIKAO CHA 08012012

Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwashukuru wanachama wote waliojitokeza kwenye kikao chetu , yapo mengi yaliyojiri na zaidi tulitembelewa na mwl Boniphace Kahembe, alitoa nasaa zake na chama tulizipokea kwa mikono miwili,

Baadhi ya mambo tuliyokubaliana kwenye kikao chetu cha 08 jan 2012

1. Aprial tutakuwa na study tour ya bagamoyo na hamza pamoja na Joymetta walipewa jukum la kufanya tathmini ya safari nzima, ripoti yao itasomwa kikao kijacho cha mwezi february.
2. Wajumbe wote walishirikishwa kuchangia mawazo kwa njia ya maandishi juu ya nini kifanyike ndani ya kipindi cha 2012 na yatapitiwa na kamati ya uongozi, hivo majumuisho yote yatatolewa kikao kijacho cha mwezi february
3.Tulikubaliana kikao kijacho wanachama watapewa namba za uanachama ila kwa wale walijaza fomu zao vizuri na kuweka passpot size kama ilivyooagizwa na uongozi wa juu.
4. Juvenali alitoa ufafanuzi wa vijwanja kama alivyoagizwa na chama na wito ulitolewa kwa wanachama ambao wako tayari kununua wawasiliane nae,
5. Tulikubaliana kuwa kila mwaka tutakuwa tunafanya study tour mara mbili, mapendekezo ya lini na lini yatatolewa ufafanuzi kikao cha mwezi february.
6. Mkutano wa kimkakati wa kupanga malengo ya chama utakuwa unafanyika december kila mwaka baada ya uchaguzi wa viongozi, na hii ni kutoa fursa kwa uongozi mpya kupanga malengo yao na kutafuta njia iliyo nzuri zaidi ya kutekeleza katiba, vilevile ni kutoa muda mzuri wa chama kuanza mwaka na malengo tayari yanajulikana kwa wanachama.

imetolewa na japhet mukala

No comments: