Nichukue fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote waliojitokeza kwenda kumtembelea na kumpongeza Bwana Maulid Abdallah na famila yake kwa kupata mtoto, ni jambo jema na la kufurahisha kwa moyo mliouonesha, maudhurio yalikuwa ya kuridhisha na Maulid pamoja na familia yake wanashukuru sana kwa upendo tuliouonesha,zaidi niwatakie afya njema na tuendelee na moyo huo katika siku za usoni!
Mungu awabariki wote
Japhet Mukala
12.03.2012
Mungu awabariki wote
Japhet Mukala
12.03.2012
No comments:
Post a Comment