UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, March 12, 2012

SHUKRANI KWA WOTE WALIOJUMUIKA NASI KWENDA KUMPONGEZA MAULID ABDALLAH

Nichukue fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote waliojitokeza kwenda kumtembelea na kumpongeza Bwana Maulid Abdallah na famila yake kwa kupata mtoto, ni jambo jema na la kufurahisha kwa moyo mliouonesha, maudhurio yalikuwa ya kuridhisha na Maulid pamoja na familia yake wanashukuru sana kwa upendo tuliouonesha,zaidi niwatakie afya njema na tuendelee na moyo huo katika siku za usoni!

Mungu awabariki wote
Japhet Mukala
12.03.2012

No comments: