UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Wednesday, March 28, 2012

UNAKARIBISHWA KWENYE KIKAO CHA CHAMA 01.04.2012

Ndugu mwanachama,

Nipende kuchukua fursa hii, kuwakaribisha kwenye kikao chetu cha chama cha kila jumapili ya mwanzo wa mwezi, kikao kchetu kitakuwa na mambo mengi ya kujadili na zaidi kitajikita kwenye mabadiliko makubwa ya katiba ambayo yamefanywa na uongozi wa chama uliopewa na baraka na wanachama kufanya hivyo ikiwa ni katika harakati za kuafanya usajili wa chama kisheria, pili tutajadili kidogo juu ya trip yetu tunayotakiwa kuifanya 14.04.2012 kama tulivokubaliana,

Muda wa kikao ni uleule saa kumi kamili kikao kitaanza na mahali ni TP Mazembe ubungo plaza, nawakaribisha nyote, chama ni chetu kwa ajili ya maendeleo yetu.

Imetolewa na
Japhet Mukala

No comments: