UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Monday, March 19, 2012

TAARIFA FUPI YA KIKAO CHA VIONGOZI WA CHAMA

habari za weekend wadau!

Rejea makubalianao ya kikao cha chama kilichopita, jumamosi tulifanya kikao cha viongozi wa chama, mambo mengi yalifikiwa muafaka ambayo ni pamoja na kufanya marekebisho ya katiba, ni mabadiliko makubwa sana tumeyafanya ili tuwe na katiba nzuri yenye kukidhi matakwa ya sasa na baadae ya chama, kiako kilianza sa 10.30 na kumalizika sa 12.30, maazimio ya kikao yote yataelezewa siku ya 01.04.2012 ambapo tutafanya mkutano wa chama wa mwanzo wa mwezi! nawatakia kazi njema za ujenzi wa taifa!

Imetolewa na
Japhet Mukala

No comments: