Rejea makubalianao ya kikao cha chama kilichopita, jumamosi tulifanya kikao cha viongozi wa chama, mambo mengi yalifikiwa muafaka ambayo ni pamoja na kufanya marekebisho ya katiba, ni mabadiliko makubwa sana tumeyafanya ili tuwe na katiba nzuri yenye kukidhi matakwa ya sasa na baadae ya chama, kiako kilianza sa 10.30 na kumalizika sa 12.30, maazimio ya kikao yote yataelezewa siku ya 01.04.2012 ambapo tutafanya mkutano wa chama wa mwanzo wa mwezi! nawatakia kazi njema za ujenzi wa taifa!
Imetolewa na
Japhet Mukala
No comments:
Post a Comment