Ndugu wanachama, rejea na kichwa cha habari hapo juu, kutokana na ukweli wa mambo ni kwamba, katiba inasema makutano yetu ni kila jumapili ya mwanzo wa mwezi, na mwezi january jumapili ya mwanzo wa mwezi ni tarehe 01.01.2012 ambayo kimsingi ni sikukuu ambayo watu wataitumia kukaa na kusherehekea mwanzo wa mwaka na ndugu pamoja na familia zao, kwa maana hiyo, kama tulivyokubaliana kikao cha tarehe 4 dec 2011, tutakutana jumapili itakayofuata ambayo ni tarehe 08.01.2012 saa tisa na nusu juu ya alama jioni, mnaombwa sana kukumbuka na kuzingatia muda pamoja na maazimio ya chama.
Imetolewa leo 15122011 na
Japhet Mukala
Mwenyekiti.
Imetolewa leo 15122011 na
Japhet Mukala
Mwenyekiti.
1 comment:
THANKS IN DEED
Post a Comment