UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Thursday, December 15, 2011

MKUTANO WETU WA 16 MWEZI JANUARY 2012

Ndugu wanachama, rejea na kichwa cha habari hapo juu, kutokana na ukweli wa mambo ni kwamba, katiba inasema makutano yetu ni kila jumapili ya mwanzo wa mwezi, na mwezi january jumapili ya mwanzo wa mwezi ni tarehe 01.01.2012 ambayo kimsingi ni sikukuu ambayo watu wataitumia kukaa na kusherehekea mwanzo wa mwaka na ndugu pamoja na familia zao, kwa maana hiyo, kama tulivyokubaliana kikao cha tarehe 4 dec 2011, tutakutana jumapili itakayofuata ambayo ni tarehe 08.01.2012 saa tisa na nusu juu ya alama jioni, mnaombwa sana kukumbuka na kuzingatia muda pamoja na maazimio ya chama.

Imetolewa leo 15122011 na
Japhet Mukala
Mwenyekiti.

1 comment:

Anonymous said...

THANKS IN DEED