UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Thursday, December 15, 2011

SALAMU ZA PONGEZI KWA WANACHAMA WETU

Kwa niaba ya chama cha vijana, napenda kuchua fursa hii kuwapongeza wanachama wenzetu
1.Tunampongeza Denis Rutahilwa kwa kujaliwa kupata mtoto
2.Abdul Kyaijunga kwa kujaliwa kupata mtoto
3.Tunampongeza Stanley Pesha kwa kumaliza chuo (Tanzania institute of Accountancy) na tunamtakia sherehe njema hapo kesho 17.12.2011

Chama tuko pamoja nao katika sherehe kubwa na mafanikio makubwa, hii ni hatua muhimu katika maisha
mungu awatangulie na kuwalinda watoto wote waliozaliwa na tunawakaribisha kwenye familia mpya ya vijana wakanyigo ambao ndo wanachama watarajiwa, pili tunampongeza sana Stanley na kumtakia mafanikio mema na kumkumbusha kulitumikia taifa kwa uadilifu mkubwa ili kujenga nchi yenye vijana imara na wenye uchungu na uchu wa maendeleo ya nchi yao.

imetolewa leo na 16122011
Japhet Mukala
mwenyekitu

No comments: