UONGOZI MPYA WA CHAMA 2016/17

Japhet Mukala -Mwenyekiti wa chama

Johanes Mujuni-Makamu mwenyekiti

Denice Kahangwa-Katibu mkuu wa chama

Nelson Ntoroma-Naibu Katibu mkuu

Elizeus Izoba-Mweka hazina wa chama

Agnetha Byashalila- Muweka hazina msaidizi

Hamidu Mabaraza-Msemaji mkuu wa chama

Sunday, December 4, 2011

YALIYOJIRI KWENYE KIKAO CHETU CHA 04.12.2011

Kwanza nichukue nafasi hii kuwapongeza wale wote wlijitokeza kwenye kikao chetu cha kila jumapili ya mwanzo wa mwezi, kikao chetu kilifunguliwa saa 10.30 na kufungwa saa 12.36

baadhi ya mambo yaliyojiri ni pamoja na
1. Mwenyeki akisaidiana na viongozi wengine walieleza maana ya mkopo nini, faida na hasara zake na kutoa ushauri kwa wanachama pamoja na kutoa kijarida kinachoelezea maana halisi na mkakati kazi
2. Uchaguzi wa viongozi wa kamati za kudumu za chama ikiwa ni pamoja na  kamati ya nidhamu na uongozi, kamati ya miradi, kamati ya matukio na kamati ya fedha na  uchumi.
3. Utekeleza wa mapendekezo ya mwenyekiti wa kutafuta walezi wa chama ambapo tulikubaliana chama kiwena walezi na barua pamoja na katiba vilitumwa jana kwa wajumbe waliopendekezwa na wanachama
4.Ulitolewa ufafanuzi juu ya maana ya udhamini iwapo mwanachama ataamua kumdhamini mwanachama mwenzake.
5.Mapendekezo yalitolewa juu ya kusitisha mkopo na kutoa muda kwa wahusika kujiandaa na kuja na mikakati mizuri ya jinsi ya kuendelea na huduma hii kwa wanachama bila kuathiri maana na dhana nzima ya utoaji wa mkopo.
6.Pendekezo la kuwa na get together event kati ya xmas au mwaka mpya ambalo limepokelewa na kupelekwa kwa kamti husika yaani kamati ya matukio na tutapata taarifa yao kwa njia ya msg, face book au blog yetu kadri siku zinavyokwenda.
7.Kuanzisha mpesa na tigopesa kwa ajili ya dharura kwa wanachama ambao wapo mbali na Dar es slaam kwa kipindi cha uhitaji wa kutoa mchango wa chama au kitu chochote kinapotokea na hizi line zitakuwa chini ya wawekahazina wetu wawili ya Anderson Rwebangira na Julius Ishengoma.
8.Ilikubaliwa kuwa kila mwezi lazima watunza hazina watoe ripoti za kiutendaji, ripoti za mapato na matumizi, ripoto ya mikopo na zingine.
9. Mwisho yalitolewa mapendekezo kwamba kikao kijacho yani tarehe 08012012, hoja zote tulizoshindwa kuzimalizia kutokana na muda ndo hoja tukazo fungua nazo kikao kinachofuata pamoja na uongozi kutoa malengo ya mwaka 2012.

mwisho niwashukuru tena na kama kuna mambo ambayo wadau mngependa kupata ufafanuzi au mna mapendekezo tunawaomba kuwasiliana na uongozi wetu yani mwenyeketi na katibu kwa namba zifuatazo
Japhet Mukala-0713 362898
Denis Rutaihilwa-0716 353 466
Derick Izoba-0713 862562
Adelina Kasinda -0716 600 288
Anderson Rwebangila -0717 646 268
Julius Ishengoma -0782 429 183

Vilevile tukaribisha maoni yenu kupitia ukurasa wetu wa facebook ambao ni vijana kanyigo

imetolewa na japhet Mukala
Mwenyekiti wa chama
05122011

2 comments:

Anonymous said...

tumeshakaribia

Anonymous said...

tumeshakaribia